Watu wawili ambao hawajafahamika majina yao wameuawa kwa kuchomwa na moto huku gari aina ya fuso nalo likitekezwa kwa moto na ...
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, limeazimia kufuta mfumo wa kupitisha kampuni moja ...
Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura, amehoji Bungeni hatua zilizofikiwa na Serikali katika kuendeleza na kukamilisha ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu wa Manispaa ya Geita ulioanza kujengw ...
TAIFA la Rwanda limeanzisha kesi mbele ya Mahakama ya Kudumu ya Usuluhishi huko Hague, ikidai ukiukaji wa makubaliano ya uhamiaji ya mwaka 2022 na London. Mkataba huo wenye utata unaelezea kurejeshwa ...
Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola, amesema kundi la ‘Machawa’ kama halitadhibitiwa litachangia kuharibu mipango ya serikali kudhibiti ufisadi pamoja na ubadhirifu nchini. Lugola, amesema hayo leo bungeni ...
Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amewataka wafanyabiashara nchini kutowaumiza Watanzania kwa kupandisha bei za bidhaa hususani kipindi hiki cha kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhani pamoja na mfungo wa ...
MILIO ya risasi na milipuko mikubwa ya mabomu imesikika karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa nchini Niger, na kusababisha taharuki. Video ziliozosambaa mitandaoni mapema leo Januari 29, 2025 ziliony ...
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limeonya kuwa inayoshikilia mpini na kuamua hatima ya vita vyovyote vitakavyoanzishwa na Marekani. Alisema kama Marekani itaishambulia Iran, ng ...
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge leo, Januari 28, 2026 wakati wa hafla ya kuwatambulisha wakandarasi wa kampuni ya ...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ameahidi kuiombea Tanzania amani na utulivu, baada ya vurugu za Oktoba 29, ...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, amewasilisha wito rasmi kwa Tanzania kufungua ubalozi wake Vatican, hatua ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果