Bunge la nchi hiyo limempata Spika wake mpya atakayeongoza muhimili huo kwa kipindi cha miaka mitano, baada ya zoezi la uchaguzi lililofanyika hii leo bungeni jijini Dodoma. Kwenye uchaguzi huo wa ...
DK. MWIGULU Lameck Nchemba ni miongoni mwa viongozi wa kisasa wa Tanzania wanaotambulika kwa umahiri katika taaluma ya uchumi na uongozi wa umma. Alizaliwa Januari 7, 1975 katika kijiji cha Makunda, ...
DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linaendelea kukuza uchumi wa kidijitali kwa kuhakikisha inatoa huduma bora kwa gharama nafuu. Agenda hiyo ambayo pia inaungwa mkono na serikali ...
Beki wa kushoto wa Al Hilal ya Sudan, Khadim Diaw. KLABU ya Simba kwa sasa inapigana kupata saini ya beki wa kushoto wa Al Hilal ya Sudan, Khadim Diaw, raia wa Senegal ili kuwa mbadala wa nahodha wake ...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha Chaumma, Moza Ally amewaomba wananchi wa Kinondoni kumchagua ili akapiganie upatikanaji wa Katiba mpya bungeni. Amesema hayo jana wakati ...
Zohran Mamdani, Meya mpya wa jiji la New York, atakuwa kiongozi mwenye umri mdogo zaidi wa jiji hilo tangu 1892, meya wa kwanza Muislamu na meya wa kwanza kuzaliwa barani Afrika. Aliingia kwenye ...
Hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa kulifungua Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeonekana kuwa moja ya hotuba zenye mwangwi mpana kwa vijana wa kizazi kipya, maarufu ...
Bunge la Tanzania limempitisha Mwigulu Lameck Nchemba mbunge wa jimbo la Iramba mkoani Singida, kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwasilisha bungeni jina lake ili ...
Dodoma. Yametimia. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema ukikumbuka utabiri alioutoa aliyekuwa Spika wa Bunge la 12, Dk Tulia Ackson, kwamba wabunge wengi wasingerudi katika Bunge la 13, licha ya nia zao za ...
KUNA kitu kimefanywa na Yanga kinachoweza kuwa mlima mgumu kwa timu nyingine, iwapo hazitaamua kukomaa ili kuifikia na hata kuivunja. Achana na ile rekodi tamu ya kucheza mechi 49 mfululizo bila ...
Dar/mikoani. Dk Mwigulu Nchemba ndiye Waziri Mkuu wa 12 akivaa viatu vya Kassim Majaliwa. Rais Samia Suluhu Hassan amempa jukumu la kuwa Msimamizi wa shughuli za Serikali. Uteuzi wake haukutarajiwa na ...