Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo wa 14 amelalalamikia mizozo iliyotawaliwa na umwagaji damu inayoendelea duniani na kusema kuwa inahatarisha mustakabali wa ubinadamu. Papa Leo ameeleza ...
KILIMANJARO: MBIO za kuwania nafasi ya kupanda Ligi Kuu zimeendelea kushika kasi ambapo timu ya Transit Camp imegawana pointi moja… ...
Kanisa Katoliki la Kenya limeanzisha aina mpya ya divai ya madhabahuni kwa ajili ya Misa Takatifu baada ya ile ya awali kupatikana kwa wingi katika baa za mitaani. Kinywaji hicho kipya cha ...
Askofu Mkuu wa Jimbo hilo, Mhashamu Yuda Thaddeaus Ruwa’ichi. Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam limetoa msimamo wake rasmi likisisitiza kuwa halina mgogoro wala mvutano wowote na serikali, na ...