Mtazamo wa asasi hizo, unakuja ikiwa ni siku moja kabla ya wakuu wa nchi za EAC na SADC kukutana Dar es Salaam, kujadili kuhusu namna ya kumaliza mgogoro huo.
Rais wa DRC , Felix Tshisekedi, hatahudhuria mkutano usio wa kawaida wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ulioitishwa na Rais William Ruto wa Kenya kuhusu mgogoro wa mashariki mwa Congo.