Siku ya Jumatatu, Novemba 3, Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai imeonya kwamba ukatili unaofanywa huko El-Fasher "unaweza kuwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ...
Serikali ipo mbioni kutengeneza sera mpya ya magari ambayo inalenga kuzuia uingizaji wa magari chakavu nchini, ili kulinda viwanda vya ndani na kuboresha ubora wa magari yanayotumika barabarani.
Umoja wa Mataifa unaendelea kumuunga mkono mshirika wake, serikali ya Jamuhuri ya Kidemokratia ya Kongo, katika kuwalinda raia. Ni kwa ajili hiyo ambapo Umoja wa Mataifa, kupitia ujumbe wake wa ...
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2024 amekabidhi magari mapya 10 ikiwa ni ishara ya kukabidhi magari 88 yaliyonunuliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ili kuboresha ...
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amelikabidhi Jeshi la Polisi magari 77 kwa ajili kurahisha utekelezaji wa majukumu yake ya kusimamia usalama wa raia na mali zao. Akikabidhi ...
Umoja wa Ulaya umeweka Alhamisi hii kama hatua ya tahadhari hadi 38% ya ushuru wa forodha wa ziada kwa uagizaji wa magari ya umeme ya China, kabla ya uamuzi wa mwisho mnamo mwezi Novemba, ikishutumu ...
DUNIA ya sayansi na teknolojia, inatamani kila kitu kifanywe na mashine au roboti na mwanadamu, awe pengine anapumzika muda wote. Na sasa teknolojia imeingia kwenye kutengeneza na kuyafanyia majaribio ...
MAGARI makubwa yanayokatiza nje ya uwanja wa Mkapa yamegeuka kuwa changamoto kwa mashabiki waliojitokeza uwanjani. Magari hayo yametokea katika bandari kavu ambayo ipo karibu na chuo cha walimu Duce ...
Kenya imetangaza kuwa kuanzia Januari mosi mwaka 2022, waagizaji wa magari kutokea nje na wauzaji watalazimika kufuata sheria mpya. Magari yaliyosajiliwa kwa mara ya kwanza kabla ya mwaka 2014 ...
Makampuni sita ya magari yataahidi kusita kutengeneza magari yanayotumia mafuta ifikapo mwaka 2040, katika mkutano wa kilele wa mabadiliko ya tabianchi COP26 ili kupunguza uzalishaji wa gesi chafu.
Baada ya Serikali kuingilia kati ununuzi wa magari ya thamani kubwa unaofanywa na baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri nchini, hatua hiyo imeibua mjadala, huku baadhi ya wachambuzi waliozungumza na ...
Morogoro. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini limeingia mkataba na kampuni ya kutengeneza magari ya Nyumbu ambayo itakuwa na jukumu ya kutengeneza magari ya kuzimia moto, ikiwa ni hatua ya kukabiliana ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果
反馈