Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Dk. Khatibu Kazungu, amesema ajenda ya nishati safi ya kupikia ni ajenda ya dunia, na Tanzania ipo tayari kutekeleza ...
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akiangalia bidhaa mbalimbali za kilimo zilizotokana na bustani wakati wa kilele cha maonesho ya wakulima Nanenane, Nzuguni jijini Dodoma jana. Kulia ni Waziri wa Mifugo na ...
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2024 amekabidhi magari mapya 10 ikiwa ni ishara ya kukabidhi magari 88 yaliyonunuliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ili kuboresha ...
TANGA; Serikali inatarajiA kutumia kiasi cha Sh Bil 1.1 kwa ajili ya kununua vitendea kazi vya magari katika Mkoa Tanga, Ili kuboresha mazingira ya utoaji wa huduma kwa wananchi. Hayo yamesemwa na ...
MAGARI makubwa yanayokatiza nje ya uwanja wa Mkapa yamegeuka kuwa changamoto kwa mashabiki waliojitokeza uwanjani. Magari hayo yametokea katika bandari kavu ambayo ipo karibu na chuo cha walimu Duce ...
Kenya imetangaza kuwa kuanzia Januari mosi mwaka 2022, waagizaji wa magari kutokea nje na wauzaji watalazimika kufuata sheria mpya. Magari yaliyosajiliwa kwa mara ya kwanza kabla ya mwaka 2014 ...
Makampuni sita ya magari yataahidi kusita kutengeneza magari yanayotumia mafuta ifikapo mwaka 2040, katika mkutano wa kilele wa mabadiliko ya tabianchi COP26 ili kupunguza uzalishaji wa gesi chafu.
Baada ya Serikali kuingilia kati ununuzi wa magari ya thamani kubwa unaofanywa na baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri nchini, hatua hiyo imeibua mjadala, huku baadhi ya wachambuzi waliozungumza na ...
Kila mwaka wachezaji wamekuwa wakipewa aina mpya za magari huku Audi ikiuza magari ambayo wanayarudisha kwa watu wengine. Katika kikosi cha sasa cha Barcelona, kiungo mkabaji, Sergio Busquets ndiye ...
Wanaonunua magari hayo hupata unafuu kama wa kuegesha magari bure, kuyachaji bure katika maeneo ya maegesho na hawalipishwi kodi za halmashauri. Kwa mara ya kwanza idadi ya magari ya umeme imekuwa ...
Mkutano wa 24 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi nchi, COP24 ukiendelea huko Katowice, Poland, suala la kutumia magari yatumiayo nishati ya umeme ili kupunguza mchango wa sekta ya ...
PingWest 品玩 7 月 19 日报道,北京技德科技有限公司宣布终止Remix OS所有产品,而技德科技官网的最新更新停留在 2016 年。 技德公司表示要将精力和资源投入到企业级市场,因此消费者市场的产品包括 Remix OS for PC,以及 Remix IO 和 IO+ 都将停止开发,通过 kickstarter ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果
反馈