Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Dk. Khatibu Kazungu, amesema ajenda ya nishati safi ya kupikia ni ajenda ya dunia, na Tanzania ipo tayari kutekeleza ...
Siku ya Jumatatu, Novemba 3, Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai imeonya kwamba ukatili unaofanywa huko El-Fasher "unaweza kuwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ...
Umoja wa Mataifa unaendelea kumuunga mkono mshirika wake, serikali ya Jamuhuri ya Kidemokratia ya Kongo, katika kuwalinda raia. Ni kwa ajili hiyo ambapo Umoja wa Mataifa, kupitia ujumbe wake wa ...
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2024 amekabidhi magari mapya 10 ikiwa ni ishara ya kukabidhi magari 88 yaliyonunuliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ili kuboresha ...
TANGA; Serikali inatarajiA kutumia kiasi cha Sh Bil 1.1 kwa ajili ya kununua vitendea kazi vya magari katika Mkoa Tanga, Ili kuboresha mazingira ya utoaji wa huduma kwa wananchi. Hayo yamesemwa na ...
Umoja wa Ulaya umeweka Alhamisi hii kama hatua ya tahadhari hadi 38% ya ushuru wa forodha wa ziada kwa uagizaji wa magari ya umeme ya China, kabla ya uamuzi wa mwisho mnamo mwezi Novemba, ikishutumu ...
Kati ya vitu vinavyoumiza kichwa changu ni pale linapokuja suala la matumizi ya Serikali. Nashangaa mno, Serikali masikini inayokwama kwenye mambo mengi ya kimaendeleo, inaposhitadi kutenga mabilioni ...
DUNIA ya sayansi na teknolojia, inatamani kila kitu kifanywe na mashine au roboti na mwanadamu, awe pengine anapumzika muda wote. Na sasa teknolojia imeingia kwenye kutengeneza na kuyafanyia majaribio ...
MAGARI makubwa yanayokatiza nje ya uwanja wa Mkapa yamegeuka kuwa changamoto kwa mashabiki waliojitokeza uwanjani. Magari hayo yametokea katika bandari kavu ambayo ipo karibu na chuo cha walimu Duce ...
Kenya imetangaza kuwa kuanzia Januari mosi mwaka 2022, waagizaji wa magari kutokea nje na wauzaji watalazimika kufuata sheria mpya. Magari yaliyosajiliwa kwa mara ya kwanza kabla ya mwaka 2014 ...
Baada ya Serikali kuingilia kati ununuzi wa magari ya thamani kubwa unaofanywa na baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri nchini, hatua hiyo imeibua mjadala, huku baadhi ya wachambuzi waliozungumza na ...
Kila mwaka wachezaji wamekuwa wakipewa aina mpya za magari huku Audi ikiuza magari ambayo wanayarudisha kwa watu wengine. Katika kikosi cha sasa cha Barcelona, kiungo mkabaji, Sergio Busquets ndiye ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果
反馈