Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC), Wafula Chebukati, amefariki dunia jana katika hospitali ya Nairobi alikokuwa amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi.
Mashindano ya tenisi ya bara Afrika ya vijana chini ya umri wa miaka 14, yaliyofanyika jijini Nairobi nchini Kenya wiki hii, ...
Mwanaspoti limekuchambulia mambo matatu yanayomfanya Chama asugue benchi Yanga akionekana mchezaji wa kawaida wakati alipotoka Simba alikuwa mchezaji tegemeo na supastaa. Tangu Chama atambulishwe ...
Haya hapa mambo matatu yaliyoifanya Stars kuvuka raundi ya pili. Ubora wa kikosi cha Stars ulichangia kwa kiasi kikubwa kufanikisha ushindi wa timu hiyo inasakata rekodi nyingine ya kufuzu WAFCON.