"Ukitaka kujua kuwa msimu huu tuko makini na kila michuano ndiyo hapa sasa, tuko kwenye Ligi Kuu, lakini bado kocha pia amekuwa akizichunguza timu ambazo tutacheza nazo. Katika timu hizo tatu ni ...
Kila huzuni tuliyonayo moyoni, tuigeuze kuwa hamasa ya kutupa morali ya kuupambania ubingwa wetu wa Ligi Kuu na Kombe la FA. "Tuko katikati ya mapambano, yatupasa kujidhatiti kweli kweli kurudisha ...