Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Mkutano ...
Dar es Salaam. Wakati Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) likitarajiwa kupitisha azimio lake leo Novemba 27, 2025 la kuzuia fedha zilizopangwa kutolewa kwa Tanzania mwaka 2026, Serikali imeeleza kwamba ...
Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya kughushi vibali vya kumiliki silaha inayowakabili watu tisa wakiwemo maofisa sita wa Jeshi la Polisi, umekamilika. Wakili wa Serikali, Roida Mwakamele leo Jumatatu ...
Dar es Salaam. Benki ya Diamond Trust (DTB) imeweka mikakati ya kupanda miti milioni moja hadi ifikapo mwaka 2030. Tayari benki hiyo imeshapanda miti 150,000 kupitia ushirikiano na wadau mbalimbali, ...
Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Mahamoud Banga akizungumza na madereva bodabda wilaya ya Njombe katika viwanja wa polisi wilaya ya Njombe mkoani hapa. Seif Jumanne Wakati Serikali ikiwataka ...
Dar es Salaam. Idadi ya wagonjwa wa kisukari duniani imepanda kwa kasi isiyokuwa ya kawaida, ikifikia zaidi ya watu milioni 800 mwaka huu, ikiwa ni ongezeko la zaidi ya mara nne ikilinganishwa na ...
Katikati ya milima na mandhari tulivu ya Wilaya ya Babati Vijijini, Mkoa wa Manyara, mwaka 1956, 1956 alizaliwa kiongozi ambaye sasa amekuwa miongoni mwa viongozi wanaotambulika kwa uthubutu na ...
Nigera. Kwa muda mrefu kumekuwa na dhana kwamba wasanii wengi wa muziki hawana elimu ya juu, na kwamba vipaji ndio vinawabeba na kuwakutanisha na watu wakubwa lakini watu hao hao wanasahau kuwa ...
Vurugu zilizotokea nchini siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba 29, 2025 zimeacha alama nzito katika historia ya Tanzania. Maisha ya watu yamepotea, wengine wamejeruhiwa, mali za umma na za binafsi ...
Tanzania ipo katika kipindi kisicho na mfano katika historia yake ya kisiasa. Tunapotazama nyuma uchaguzi wa mwaka 2025, matukio yaliyotokea na maisha yaliyobadilika, tunajikuta tukitafakari ukurasa ...
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Jana ...
Dar es Salaam. Januari mosi, 1974, ilikuwa Jumanne. Ulimwengu ulipokea taarifa za mafanikio ya kisayansi baada ya chombo cha kiroboti kinachoitwa Mariner 10 kuwasili kwenye sayari ya Zebaki (Mercury), ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果
反馈