KWA mara ya kwanza katika historia, mechi ya Watani wa Jadi wa Jiji la Mbeya, Mbeya Derby baina ya Mbeya City na Tanzania Prisons inachezwa Dar es Salaam na leo timu hizo zitakutana kwenye Uwanja wa ...
LICHA ya Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Nsingizini Hotspurs ya Eswatini, Meneja Mkuu wa timu hiyo, Dimitar Pantev, amesema kikosi chake bado hakijafikia ubora anaoutaka, huku akitamba ...
Hakutaka kubishana nao alijitahidi kujiweka katika hali ya kawaida ingawaje uso wake ulionekana kutawaliwa na hofu kutokana na kitendo hicho. “Kwa nini mimi…?” alijiuliza huku akiwaangalia abiria ...
KATIKA vitu viwili ambavyo mashabiki wa Yanga wanavisubiri hivi sasa kutokea katika klabu hiyo, suala la kumpata mrithi wa Romain Folz limechukua nafasi kubwa kutokana na uhitaji wa kuboresha benchi ...
Simba ambayo imekuwa na rekodi nzuri ya michuano ya kimataifa tangu msimu wa 2018–2019, inarudiana na Nsingizini Hotspurs ...
SHABIKI wa damu wa mchezo wa soka ambaye aliamua kubadili jina lake na kuitwa Manchester United amefariki dunia kwa kihoro ...
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema licha ya mshambuliaji wa timu hiyo, Jephte Kitambala kutajwa kwa ubora kutokana ...
MANCHESTER United imesogea kwenye msimamo wa Ligi Kuu England na kuwa nyuma kwa pointi mbili tu kufika kwenye nafasi ya ...
Mechi ya soka ya Northern Premier League Division One West nchini England, imesitishwa baada ya kutokea ugomvi kati ya ...
Mechi ya soka ya Northern Premier League Division One West nchini England, imesitishwa baada ya kutokea ugomvi kati ya mashabiki na wachezaji dakika sita kabla ya kumalizika. Mapigano yalizuka nyuma ...
HADITHI fupi ya Kocha Romain Folz klabuni Yanga imefikia tamati baada ya Mfaransa huyo kuondoka Jangwani kwa makubaliano ya pande mbili, lakini mwanzo wa mwisho wake ulionekana mapema zaidi. Tangu ...
Winga wa zamani wa Real Madrid na Everton, Royston Drenthe, amelazwa hospitalini baada ya kupata kiharusi. Mchezaji huyo wa kimataifa wa zamani wa Uholanzi mwenye umri wa miaka 38, alilazwa ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果