MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ...
Hii hapa ratiba ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 iliyofanyiwa maboresho. Hatimaye sakata la wachezaji watatu nyota wa timu ...
KOCHA Fadlu Davids ameshindwa kuifikia rekodi ya Patrick Aussems ya kushinda mechi 11 mfululizo za Ligi Kuu baada ya jioni ya jana kulazimishwa sare ya 1-1 na Fountain Gate iliyomaliza ...
Sare ya bao 1-1 imeifanya Simba kushindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kufikisha pointi 44, moja nyuma ya vinara Yanga yenye 45.
Okwaro, ambaye anavutiwa na Cristiano Ronaldo, Jumanne wiki hii alijumuishwa katika kikosi cha Harambee Starlets chenye ...
MAMBO yameendelea kuwa mabaya kwa Arsenal katika kipindi ambacho inapambana kuhakikisha inaishusha Liverpool katika mbio za ...
MASTAA wa Real Madrid, Luka Modric na Vinicius Jr wanadaiwa kuingia kwenye mvutano baada ya Luka mwenye umri wa miaka 39, kukasirishwa na kitendo cha Vini kutoisaidia timu katika kukaba ...
KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopewa Namungo kutoka kwa Tabora United, kimemuamsha Kocha Juma Mgunda aliyesema ameona mwanga ambao akirekebisha kidogo tu mambo yatakuwa matamu kwa Wauaji hao wa Kusini.
KIUNGO wa KenGold, Zawadi Mauya amesema kucheza na timu kongwe kama Yanga inahitaji ukomavu wa akili na uzoefu wa kutosha wa ...
ARSENAL wako tayari kuvunja rekodi yao ya usajili kwa kutoa dau la zaidi ya Pauni 100 milioni kwa ajili ya kumsajili ...
Timu za Prisons na Pamba Jiji zimeanza vizuri ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara baada ya kupata ushindi mchana kwenye ...
Kufuatia matukio ya udukuzi wa akaunti za mitandaoni yanayosababisha utapeli, wananchi wametakiwa kujifunza elimu ya mitandao ili kuepuka kuingia kwenye majanga.